Busara Lyrics
- Genre:Gospel
- Year of Release:2022
Lyrics
Busara - Walter Chilambo
...
(Love Music)
Jawabu la upole huigeuza hasira bali neno liumizalo huchochea ghadhabu
Midomo ya mwenye hekima hueneza maarifa
Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo
Mmh bwana bwana bwana nakuita bwana
Uliye mwema bwana nakuhitaji bwana
Unaye badilisha nakututengeneza
Nanyenyekea kwako nanyenyekea kwako
Mimi ni kama gari bovu wajua pakugusa ni wapi ni wake
Mi ni kama kinda la ndege baba oh ukiniacha nitaliwa na mwewe
Ooh mimi nikama jumba bovu sijaezekwa na mkandarasi wangu ni wewe
Maana tunaangamia kwa kukosa maarifa
Nipe nipe nipe (busara)
Ooh nipe (busara)
Baba nipe maarifa na (busara nifanane nawe)
Nifanane nawe bwana ninaomba (busara)
Hekima yako na (busara)
Domo langu nalijua mwenyewe (busara nifanane nawe)
Macho yako bwana yako kila mahali yakichunguza mbaya na mwema
Mmh unitoe katika boma la miba maana ina choma
Na unifanye zao lenya faida nisiwe hasara tena
Unyenyekevu wako bwana (wako bwana) wakufanana (hakuna)
Nami unifanye vivyo hivyo (ooh bwana) unifinyange
Mimi nikama gari bovu wajua pakugusa ni wapi ni wake
Mi nikama kinda la ndege baba oh ukiniacha nitaliwa na mwewe
Ooh mimi nikama jumba bovu sijaezekwa na mkandarasi wangu ni wewe
Maana tunaangamia kwa kukosa maarifa
Nipe nipe nipe (busara)
Ooh nipe (busara)
Baba nipe maarifa na (busara nifanane nawe)
Nifanane nawe bwana ninaomba (busara)
Hekima yako na (busara)
Domo langu nalijua mwenyewe (busara nifanane nawe)
Nipe nipe nipe (busara)
Yesu nipe (busara)
Niondolee kiburi baba nipe (busara nifanane nawe)
Uuh sikunibeba kwa mbeleko hivo (busara)
Bali nitualize kwa neno lako (busara)
Bwana ninaomba hekima na busara (nifanane nawe)
(Walter)