Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2020

Lyrics

kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


Kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


[Chorus]

Hii kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Spliff ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


Hii kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Spliff ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


[Breeder LW]

Bazuu bazuu bazuu 

Ka niko ndani ngoma ni noma na inagonga kama radi

Bazuu bazuu bazuu 

Mahali imefika mi nashangaa nashindana na kina nani?

Ni hao, ni why, ni who?

Maswali mingi ni za kitoto we panguza makamasi

Bouty, Denzel, Master

Ssaru na Maandy ongeza buda combination ni hatari aah


Ah, kitu ka ni nono ina Tetenas

Nishai mwaga voodoo kwa Calabash

Nina kitambaa ya kupanguza dust

Incase nikistep nikanyagwe Clarks

Sivuti nganya na silambi nyap

Hujai level up mi napanda ranks

Tukifunzwa ujana we ulihata class

Jina ni Bigii mi hulipa tax


Roho chafu we ioshe na Harpic

Uto mabang'a ishageuka habit

Nina heshima huwezi nunua Tuskys

Album next ah classic

Flow ni mingi kama ndae DT DObie

Kitu nono ye huipendaga doggy

Bazenga daddy nilifika kwa show biz

Wasaniii wote sa wananicopy


[Maandy]

Kabaya nishafika kwenye scene

Haya katambe ka una beef

Waya chini ya maji sub-marine

Rada spit game Tychii

Messiah naokoa kina nyi

Gwaya wananiogopa ni malaya

Kuclaim kila team na bado ni bottom RIP


Kitu nono inamaliza tena ina tisha futi ni tisa

Niko jikoni napika nikimaliza turudi misa

Ng'ang'a nini hata chini piga ka ni vita

Siamini kichwa chini nahesabu raundi ya sita


Sitachoka kuwatisha

Sita-sitawacha wakilisha

Sita-sitawacha kuwa teacher

Clean bitch piga picha, follow the leader


Infact niite picha mr, 

Usitry bahatisha

Miaka nne nawaosha mmh, aibu

Fyeka beat Maandy tosha


[Chorus]

Hii kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Spliff ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


Hii kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Spliff ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


[Boutross]

Nduru apige, vile makende ya Bouti ni nono

Ndugu mpende, mpaka ajaribu kukutupia mkono

Niko Rongai juu ya mangwai na mistari za stori za ngono

Nilitolewa uvajo na matha enzi -- moto

Bonga nikuonyeshe mbona mi husemanga number ni wrong

Vile -- aligenya vile alikam --

Suspect stand the pressure mbona unatap the phone

Mlami ashajileta shore anadai kujipatia ball


Nikitoka kwa tumbo ya matha, mi nilikuwaga mandom

Nilichotaga supu na Sandra then wakachota ki-Corazon

Mi ni chemist condoms Bouty ashajua ashatolewa phone

Vile nilipigwa mtaani Bouty nilibaki nikiimba home


[Denzel Kong]

Ju kitu ni nono, imebidi tukuje na remix for the people

Nikam niwa ajax, vile nasukwa na denge amebeba zigo

Kuwakunywa kama Bibo

Difference ya si na Gava tunawork for the people


Ju kitu ni nono, ey flow kali tena nono

Mbogi biggy manze yenyu ni ndogo

Mtu sita ndo mjue ni zogo aah

Mmh wacha katambe men, 2020 mi silali


Mi ndo ule ulionywa na mzazi

Pewa wembe nika-sharpen makali

Like oof wewe ni nani msee?

Menu mi sijali nimekula shida mpaka na maji

Wengi wenyu mkikula kibabi

Yeah flow tight than yours wide

Zenyu ni koro na yangu ni virgin

Nikingwai nitaball all night

Ndio nikafunge mokoro awe ganji 

Kong, yeah ju kitu ni nono nimeleft

Sheesh you don't know (Yeah)


[Chorus]

Hii kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Spliff ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


Hii kitu ni nono

Denge nimsimame kama konokono

Spliff ni kwa mkono

Mdomo ya denge manze si ni lolo


[Ssaru]

Kuna mtu amekuja kuchachisha, nani? Ssaru wa Manyaru

Cheki venye mnanikaribisha, na nini? Mmmh kinyaru

Alafu na plate ya pilau, na nyi ndo mnakuwanga wadau

Majina zenyu nishasahau, alafu huwa sipendi dharau


Kwanza hizo za kina Kamau na sipendi pia za Musau

Leo nimekuja na katot kwa hii fore nimekuja kupoach

Siku hizi huku mi ndio coach so unaeza ni-approach

Naskia ati mnaniitanga boss na eti mnaeza ni adopt


Mnaniomba mapicha mpost, bro hiyo itawacost

Nimekuja na moto mkali, fire extinguisher inazima nani?

Nataka tu daktari mwenye atanipea dawa fulani

Ata akinipa kachali, who chuma inalala ndani

Ata akinipa kachali, who chuma inalala ndani

Ati ata akinipa kachali, what? chuma inalala ndani


[Mastar Vk]

Afande, weh, kitu ni nono, ooh baby you don't know

Nachapa ka box ya mono, nafanya hadi arushe mikono

Nateka goshodo nachapa nachapa nafinya ata ka niko donyo

Epuka mapoko ju pongi inanuka na bado ina kisonono


Ka daily ni ka niko soko venye mangoko wananihanya

Wao hupenda kucheza na mboko 

Kwanza ile gethaa wameshinda wakinyanya 

Afande analeta mashida na roll kwa rodi na dinga


Ndole kwa wenye wanaringa na ball ni ka ni Mariga

Navuta mangwela na sigar

saba ukichora napiga

Haga si bigi ni bigger

More Lyrics from Breeder LW Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status