13 ft. Fid Q & Belle 9 ( (kumi Na Tatu)) Lyrics
- Genre:Hip Hop & Rap
- Year of Release:2014
Lyrics
13 ft. Fid Q & Belle 9 ( (kumi Na Tatu)) - Msodoki Young Killer
...
Ahahahahaha
13
Bongo records
Mama ndo alinitabiri
Mi ntakuwa star na nyota kila pande
Nikiwa na raha kwa mwenda hasira nsijigambe
Usimpige mkeo piga shangwe maana young killer so ngazi
Kwahyo mwambieni shetani asinipande
I think big is my dream big kuwa bigger wa michano nigger ambaye tajiri atanijua
Kuwa msodoki nawaficha mistari
Udogo wangu nimekula mchicha na ndo maana nna fikra za kuona mbai
Msukuma naisukuma mitikasi inatulia
Hata francis cheka naeza mpiga punch akalia
Wanaoijua njaa ndo wanaamini chakwanza kilimo mi staki kugombania ustaa hali nkifa ntazikwa chino
Wabovu wakichana imo na hawajui nguzo tano
Leo kwenye ustaa simo kisa sina mwonekano, mi nna power! Ni ibada niloomba baada ya kipato pole dada ulenitosa kisa umenzidi kidato
Futa jasho na damu saka noti hali tete
Watoto wanamjua dai-mond na joti Zaidi ya kikwete
Popote niko fiti tega sikio shoga hata akitoa jicho vipi hawezi akayaona mafanikio ndiooooooo
Msodoki na ngoshaaa
Ile miujiza ilotabiriwa haina haja ya kwogopa
Nafasi nilizozichezea yawezekana zisirudi lakini nna uwezo wa kuzitengeneza nikiongeza juhudi
Ooh