Loading...

Download
  • Genre:Hip Hop & Rap
  • Year of Release:2019

Lyrics

Bendera Ya Chuma ft. Ben Pol - Fid Q

...

Naitwa Farid kwa maana mi ni wa pekee

Na wa aina yake

Huu ujasiri na utajiri wa mashairi wa tafsiri zake

Jasiri ka usiogope kuumia

ukiwa na noti utumia

Kina kinduta, kina pochi wakazia

Tajiri wa mashairi mi sio hodari wa kurap tu

Mi sio msanii nafanya hii kwa ajili ya watu

Nina uso wa mbuzi na ninapewa front page

Na daily kwenye news sina skendo yoyote

(wapi, wa.wapi)

Wapi niliwakosea?

Wapi mie siku-play fair?

Sikuzaliwa niwe kamili, nilizaliwa niwe real yeah

Na udhaifu hauna dili, kwani strong naji-feel here

Nadhifu kiakili, street smart, brush and spear

Nipo ili nife maisha sio mchezo wa uoga, mjomba

Unataka nshibe hakikisha haukombi mboga, bomba

Nipake tope nijikombe kombe mafuta

Uniponde unizonge kutwa

Nikonde mnyonge wa kutupwa

Kwa mgongo wa chupa nipake nisijepauka

Ntaibuka tu kama vumbi dongo likija kukauka

Mi nateleza, nakosea

Naanguka, napotea

Najifunza kuendelea

Nainuka natembea

Nateleza, nakosea

Naanguka, napotea

Najifunza kuendelea

Nainuka natembea

Bendela ya chuma, inapepea

Bendela ya chuma

Bendela ya chuma, inapepea

Bendela ya chuma

Nachunga hasira isiniumize ili maumivu yasintishe

Hawaishi hila wenye wivu, wanazingira nisipite

Dua haziishii angani, ua linazaa bustani

Bahati haina ahadi, ikihitaji hutua ndani

Sihofii kudondoka sababu mi 'na mabawa

Wanaofikiria ntachoka, wanaogopa Ngosha ana power

Cheusi ni mzawa, Cheusi hana dawa ya kutoka

Pagawa ukitosa, kosa kunawa kabla haijatosha

Kivipi uniache wakati mziki upo na mie?

Kwake nina mapenzi ya mswaki

Sitaki mwingine achangie

Masika bila mbu, sio gharika bila Nuhu

Shida nazo kila mtu, chakarika uje unafuu

Hekima ni kukosa excuse

Kukosa excuse unapo-lose

Na pia ukishinda usiji-boost

Usiji-boo siamini makuuzi

Hekima ni kukosa excuse

Kukosa excuse unapo-lose

Mi nateleza, nakosea

Naanguka, napotea

Najifunza kuendelea

Nainuka natembea

Nateleza, nakosea

Naanguka, napotea

Najifunza kuendelea

Nainuka natembea

Bendela ya chuma, inapepea

Bendela ya chuma, inapepea

Bendela ya chuma, inapepea

Bendela ya chuma

Nafanya nakaa kama yule MC wa Kenya

Ukisikia pah jua haikupangwa ufe mapema

Sikuiti shujaa kwa kufanye kile unachofanya

Ntakuita mjinga ukiwa ukishindwa wakati

chawezekana

Dunia ni kubwa pia ni ndogo ka tukiungana

Ki utu uzima

Na mlima haupandwi kwa kuutazama

Ningekuwa kisiwa maisha yangekuwa ufukweni

Huu upeo nimetunukiwa na Mungu wangu basi nipokeeni

Inatosha? Wanasema hapana, dondosha

Na tena wanaochana hawajiiti conscious

Ni Ngoshious!

More Lyrics from Fid Q Songs

Similar Songs

+

      -   or   -

      -   or   -

      NG +234

          Please Select A Playlist

          Add New Playlist

          Share on

          Embed: Love & Light EP

          Custom Size :

          • Default
          • Desktop(300*600)
          • Mobile(300*250)

          Type :

          • HTML/HTML5 (WordPress Supported)
          Get Boomplay Premium
          for
          Payment Method
          Pay With
            Review and pay
            Order Date
            Payment Method
            Due Today
            Flutterwave
              Subscription Successful

              Congratulations! You have successfully activated Boomplay 1 Month Premium.

              Now you have access to all the features of Boomplay App.
              Payment Failed

              Please check your balance and then try again.

              You'll lose your subscription if we don't have a working payment method for your account, so please check your payment details.
              Need help? Contact Boomplay Subscription Support.
              Payment Processing...
              10 s

              Payment is being processed by . Please wait while the order is being comfirmed.

              Payment Processing
              Your order is processing, and it may take up to a few days for the service provider to handle your payment. Please kindly stay tuned and check your order status in ‘User Center’.
              About Order Status